ELANI
[Verse 1: Wambizy]
Rauka jamaa, kumekucha
Miaka kumi na sita, kidato cha kwanza
Pokea salam, siku mpya
Insyder za kwanza, zasifiwa boma
Kaipokea tetesi, mwaja shuleni wikendi
Barua uliyoituma nimeshasoma na
Sijaweza kupumua, moyo wangu waridhika
Sijaweza kupumua
[Hook]
Hapo zamani nikajua ningekuoa
Hapo zamani ukiambiwa
Unapendwa, waamini
Ukipendwa, una imani
[Verse 2: Maureen]
Nilikuwaza sana michana kutwa
Wewe sukuma mimi ugali wishwa
Na tulipendana kinyama
Nikaipokea tetesi, kuna mwingine
Akula mishikaki, aishiye kifahari
Mi sikuweza kupumua, moyo wangu kavunjika
Sikuweza kupumua
[Hook]
Hapo zamani nikajua ningekuoa
Hapo zamani ukiambiwa
Unapendwa, waamini
Ukipendwa, una imani
[Verse 3: Brian Chweya]
Sikujua, miaka kumi na sita
Siyo miaka, ya kuelewa dunia
Sikujua, miaka kumi na sita
Siyo miaka, ya kuelewa mahaba
Moyoooo
Moyoooo
[Hook]
Hapo zamani nikajua ningekuoa
Hapo zamani ukiambiwa
Unapendwa, waamini
Ukipendwa, una imani
Sign in and select any words to explain a line.
No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE
CONTRIBUTORS
Discussion
Sign in to join the discussion.