NVIIRI THE STORYTELLER
Pombe Sigara artwork

Pombe Sigara

KENYAN POPSwahili, Sheng· 0 views
PROD. BY Fancy Fingers & Mboks on the Beat
[Intro] Oh, ooh, pombe sigara Naweza wacha bila kung'ang'ana Lakini hawa wasichana Vile nawapenda Ni kama laana Ooh, Sol Generation I'm the storyteller, eh, ah, aye Ooh, Lord [Verse 1] Nasikia walevi huota na beer Lakini kuna siri nitawaimbia leo See I'm not addicted to alcohol, I'm not a victim, not at all Yalimpata Samson, yakampata Solomon Situation hugeuka tricky Kila shimo napanda miti Contribution kwa team mafisi, Karura Ayy, situation hugeuka tricky, Kwa hivyo msiniweke kamba Kwa shingo [Chorus] Pombe sigara Naweza wacha bila kung'ang'ana Lakini hawa wasichana Vile nawapenda, Ni kama laana, ah [Verse 2] Someone please call 911 Tell them the Storyteller has gone down Eti alivunja shingo akalemewa Akatoa fimbo nje ya ndoa Na hivo ndivo alijichomea Ayy, situation imekuwa tricky Kuna shimo alipanda miti Na hivi sasa ako Kamiti, kwa jela Ayy, situation hugeuka tricky, kwa hivyo Msiniweke kamba kwa shingo [Chorus] Pombe sigara, ah Naweza wacha bila kung'ang'ana, ah Lakini hawa wasichana Vile nawapenda, Ni kama laana, ah Ooh, yeah, yeah Pombe sigara, ah Naweza wacha bila kung'ang'ana, ah Lakini hawa wasichana (maze) Vile nawapenda Ni kama laana, ah Ooh, yeah, yeah

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Onslaught Wawesh
Onslaught WaweshAdded lyrics

Discussion

Sign in to join the discussion.