NVIIRI THE STORYTELLER
Pombe Sigara
KENYAN POPSwahili, Sheng· 0 views
PROD. BY Fancy Fingers & Mboks on the Beat
[Intro]
Oh, ooh, pombe sigara
Naweza wacha bila kung'ang'ana
Lakini hawa wasichana
Vile nawapenda
Ni kama laana
Ooh, Sol Generation
I'm the storyteller, eh, ah, aye
Ooh, Lord
[Verse 1]
Nasikia walevi huota na beer
Lakini kuna siri nitawaimbia leo
See I'm not addicted to alcohol, I'm not a victim, not at all
Yalimpata Samson, yakampata Solomon
Situation hugeuka tricky
Kila shimo napanda miti
Contribution kwa team mafisi, Karura
Ayy, situation hugeuka tricky,
Kwa hivyo msiniweke kamba
Kwa shingo
[Chorus]
Pombe sigara
Naweza wacha bila kung'ang'ana
Lakini hawa wasichana
Vile nawapenda,
Ni kama laana, ah
[Verse 2]
Someone please call 911
Tell them the Storyteller has gone down
Eti alivunja shingo akalemewa
Akatoa fimbo nje ya ndoa
Na hivo ndivo alijichomea
Ayy, situation imekuwa tricky
Kuna shimo alipanda miti
Na hivi sasa ako Kamiti, kwa jela
Ayy, situation hugeuka tricky, kwa hivyo
Msiniweke kamba kwa shingo
[Chorus]
Pombe sigara, ah
Naweza wacha bila kung'ang'ana, ah
Lakini hawa wasichana
Vile nawapenda,
Ni kama laana, ah
Ooh, yeah, yeah
Pombe sigara, ah
Naweza wacha bila kung'ang'ana, ah
Lakini hawa wasichana (maze)
Vile nawapenda
Ni kama laana, ah
Ooh, yeah, yeah
Sign in and select any words to explain a line.
No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE
CONTRIBUTORS
Discussion
Sign in to join the discussion.