OKELLO MAX
Nakufa artwork

Nakufa

ft. Bensoul & Amlyoto
KENYAN R&BSwahili, Luo, Sheng, English· 6 views
PROD. BY SoFresh
Ah nakufa Mtoto ya Pamela, sudah (sudah) Na papa, Amlyoto Maa Sheri [Verse 1: Okello Max] Sheri kimula mimi nakufa Ani nya jomoko mami itoyo fuondena Ahero sana pilirundo ga wiya Nyathi jomoko adieri ilalo ga pacha To dong adengo ti kaayudo konyruok na Ani weauru monda asunge jabatha Opong’ to muol atoti unanimalisa Niisi na wewe milele mpaka kufa Unisalie watoto mama Nakuahidi hutokosa Ayie idho gode monda aketie kuon e mesa Aseko yie in koro ateri moso anyuola Mamanaaaaa (Muziki santimaaaa muziki bila jasho) [Chorus] Sheriiee, mamaaa, baby Nakufa nakufa nakufa Nakufa nakufa nakufa Sheriiee, mamaaa, baby Nakufa nakufa nakufa Nakufa nakufa nakufa [Verse 2: Bensoul] Mama Sheri Usiniache nitakufa eeh (uuuutaniua) Kila unaponipigia simu lazima nitakuja eeh Ukisema nikuje jioni nitanunua chupa mama(mama) Tupendane mpaka kufa eeh Oooh Sheri mapenzi ya leo naogopa Kwanza warembo wa ngolopa Wameweka mitego kwenye mabar(ooh lord) Ila ukinitegе sitakataa Nitakopa ee, nitalima ee mama Nitachanga, nitaiba, Oh oh oh oh Tupendane mpaka kufa eeh Muziki ya pesa, muziki bila prеsha [Chorus] Sherriiee, mamaaa, baby Nakufa nakufa nakufa Nakufa nakufa nakufa Sheriiee, mamaaa, baby Nakufa nakufa nakufa Nakufa nakufa nakufa [Verse 3: Amlyoto] Baby babe nishaachana na maformu za Ashura babe Hata Nafula namba yake nimefuta Naku assure (eeh) Usiku silali naona sura yako mrembo Daily natamani kwako ningekuwa visible Nateswa na rada kila nikikuona na huyu jamaa (huyu jamaa) Kweli mama unanifaa waniua (Murder! Murder!) How do I live without you baby? Nenyauve wanje Nipeleke Eregi kwa mama Nimweleze na baba Girl I need you in my life Naona wivu when I see you holding hands Kama mwezi usiku Baby you know you're the one [Chorus: Okello Max & Amlyoto] Sheriiee (Baby you're the one) Mamaaa (Without you I can die) Baby (Baby yeah) Nakufa nakufa nakufa (Baby yeah) Nakufa nakufa nakufa Sheriiee (Baby nakuhitaji yeah) Mamaaa (Without you siwezi yeah) Baby (I will die yeah) Nakufa nakufa nakufa (Baby yeeeh yeeeh) Nakufa nakufa nakufa (Kufa nakufaa)

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Onslaught Wawesh
Onslaught WaweshAdded lyrics

Discussion

Sign in to join the discussion.