WANAVOKALI
My love, I want you
My love, I need you
Every time I see you (Inadi club)
Every time I see you (You light it up!)
Hey, hey, hey...
[Verse 1]
Naomba nafasi mi nicheze na we
Njoo karibu, usinicheki toka mbali
Hatujuani, but tonight you could be my bae
Songa nami, hii form imekubali
[Pre-chorus]
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako ana kwa ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako ana kwa ana
[Chorus]
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Hey, hey, hey, hey...
[Verse 2]
Napenda unavyong'aa kama taa
Hapa we ndio star
You've got me feeling things that I can't explain
Tu vitu, Ma vitu
I think I'm falling for you just a little
[Pre-chorus]
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako ana kwa ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako ana kwa ana
[Chorus]
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Vunja mifupa, kaza mshipi na tuzikwende
Tukizunguka, kaende, kaende
Teremka, kata kiuno jionyeshe
Inuka, Inuka
[Chorus]
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Sign in and select any words to explain a line.
No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE
CONTRIBUTORS
Discussion
Sign in to join the discussion.