OCHUNGULO FAMILY
Mpenzi Mtazamaji artwork

Mpenzi Mtazamaji

ft. Kansoul
Book 1GENGETONESheng, Swahili· 2020· 0 views
PROD. BY Ashy Akatsa
WRITTEN BY NellyTheGoon, Dmore, Mejja, Benzema, Madtraxx
[Intro] Sinanga chopper Matatu yunibeba bure Sinanga chopper (walai) Mana bad man ting [Chorus] Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mi sina ubaya Sinanga ubaya Mi sina ubaya Sinanga ubaya [Verse 1: NellyTheGoon] Ai beba beba akikuja mi nateka teka Teka nyama ikideka deka Napenda kukachocha Kakicheka cheka Na kwa bash mi nameremeta Mjulubeng ndio nacater cater Nachanganya changanya ka carburetor Body figure toa carculator Nikuonyeshe math kaa operator Usijali ile doh ntareta Nakuaga na connect na coordinator Sina time ya call me rater Aaii [Chorus] Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mi sina ubaya Sinanga ubaya Mi sina ubaya Sinanga ubaya [Verse 2: Mejja] Msupa uko fine Unakaa manzi ako 20 na uko thate fai Ntakurarua leo kama matumbo fry Ama kare gani ama namna gani Manze kuna vile vile nakutamani Vile unakunywa makali mi nakuogopa Vile unachapa flash we ni wamunyota Unapenda genge naona ukizitoka Jina yako IG nataka kukustalk Sipendi mambleina mambleina mi huwablock Umetoka salon na bado nakusuka Usiskize Huddah usifunge duka [Chorus] Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mi sina ubaya Sinanga ubaya Mi sina ubaya Sinanga ubaya [Verse 3: Dmore] Poritic jeshi iko tick Njumu tick luku luku tick Mangeus tick Matoba ni tick Tei tick ssh ssh tick Mama mia sema nachotaka Mama mia sema nachotaka Kayiela sema nachotaka Sema nachotaka Sema nachotaka Mi fathela sijaanza juzi Papa ka sonko nina ujuzi Bomboclat hatupendi upuzi Mahead bad mwenda chizi [Chorus] Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mi sina ubaya Sinanga ubaya Mi sina ubaya Sinanga ubaya [Verse 4: Benzema] Alehandro ni wewe umepupu Ka si dj ama bouncer mi nashuku Niko aquarium ndani nimefuga kuku Mayai yadinosaur si hutoshana na njugu Miss Kenya aliuse mwakenya Jimmy Gait atapata bibi tena Cinderella ni agent wa mpesa Siwezi katia dem anaitwa Philomena Na ananiuliza tender ya kupika Omena Tattoo kaa za Scofield amehepa jela Nani mtiaji princi ama depa Ukipatwa na ukedi utasema [Chorus] Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mpenzi mtazamaji Mi nakata maji Mi sina ubaya Sinanga ubaya Mi sina ubaya Sinanga ubaya [Verse 5: Madtraxx] Yooh niaje baby usipoteze time Si unajua Mejjah anakuwanga na wife Nelly hakuwangi serious na life Lenga Benzema si unajua ni fisi Dmore na mandom si unajua ni chizi Imebaki nani si imebaki mini Kuja nikushow maisha ya rangee Usare mauber uingie Mercedes Usare fuliza nikupee mafilingi Wacha Toi market twende Garden City Sinanga ubaya

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Sergii
SergiiAdded lyrics

Discussion

Sign in to join the discussion.