SAUTI SOL
Rhumba Japani artwork

Rhumba Japani

ft. Bensoul, Nviiri the Storyteller, Okello Max, Kaskazini, Xenia Manasseh & Nairobi Horns
Midnight TrainRHUMBASheng, Swahili, Luo· 2020· 0 views
PROD. BY Sauti Sol, DTX, Mutoriah, Kagwe Mungai, Wuod Omollo and Piapod Jamie
WRITTEN BY Sauti Sol, Bensoul, Xenia Manasseh, Nviiri the Storyteller
[Intro] Ooh, ooooh Ooh, ooooh Ooh, ooooh Ooh, ooooh [Verse 1: Kaskazini] Kuna rhumba ya Juja Na ni ya maboy Ukisaka mitumba Nenda rhumba ya Toi Kuna rhumba ya Kibich Utajua hujui Kuna rhumba for all you niggas Ila rhumba Japani Ndio rhumba [Verse 2: Bensoul] Kuna rhumba ya State House Iko chini ya maji (Okay) Kuna rhumba ya bunge, yeah, Ya majambazi Ukileta ujinga, utalala ndani Kuna rhumba for all you niggas Lakini rhumba Japani Ndio rhumba [Chorus] Hapa ni wapi? (Ni wapi?) Tumezungukwa na shisha na shashamani (Oh, no, no) Mapochopocho na vinywaji mbalimbali Wengine wanatapika wakizirai Hapa ni wapi? (Sol Generation) Wanatutwanga mapicha, ni paparazzi (Oh, no, no) Tumezungukwa na warembo geti kali Tunazitoka na style za kizamani [Verse 3: Xenia Manasseh] Kuna rhumba ya Westie Ya mabeshte Ya mashinani Sheki your waisti Rhumba ni nyepesi Isikuwe kesi Kuna rhumba for all my niggas Ila rhumba Japani Ndio rhumba [Verse 4: Nviiri the Storyteller] Kuna rhumba Karura Ya kupanda miti Ukiwa Koinange Hakunanga risiti, eh, ai Rhumba Oyole Hiyo ni ya mangwati To all of my hoes and all of my niggas Rhumba Japani Ndio rhumba [Chorus] Hapa ni wapi? Tumezungukwa na ma-bouncer na machuani Kuna mapedi, mapoko, pia mapinji (Eh, eh, yeah, eh) Na wanaseti michele kwenye vinywaji (Kwenye vinywaji) Hapa ni wapi? Kuna visanga, vioja mahakamani (Vioja mahakamani) Wapenzi wapigana mate hadharani Wengine wanatekana nyuma ya taxi [Verse 5: Okello Max and Bensoul] Niitie rhumba obunga Mano mar jothurwa Tokidwa bilo mbuta Iriyo manyatta (Okay! Yeba!) Yawuoi orwaka akala To nyiwa ondiso avunja (Skrr! skrr! Avunja!) Kuna rhumba for all you niggas Lakini rhumba Japani Ndio rhumba, ahh Aaahh Sol Generation, you know Hii shit imeniweka zone, inatamba Aaaahh [Chorus] Hapa ni wapi? Waheshimiwa wako nje kwa foleni Na raia wako ndani, wajivinjari Wanazitoka na style, ni za kiodi Hapa ni wapi? Ma-watchie wote wameleta utiaji Wakafungia wakubwa nje ya party Wakawachia ofisi wafanyikazi

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Sergii
SergiiAdded lyrics

Discussion

Sign in to join the discussion.