VIRUSI MBAYA
One Two Crew artwork

One Two Crew

ft. Scar Mkadinali
KENYAN DRILLSheng, Swahili, English· 2025· 0 views
PROD. BY CTB Productions
WRITTEN BY Virusi Mbaya, Scar Mkadinali
[Chorus: Virusi Mbaya] Hizi streets ni za machampe After win tunapop champagne Nikimaliza utanishow compe Mrembo kama vela anaenda chain Ni ma one two nikitokea na crew Si unajua manze what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si hu-uwa that's what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si unajua manze what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si hu-uwa that's what we do [Verse 1: Virusi Mbaya] Na nikitokea Nakuru me hutokea na crew Nahitaji spanner nashinda nimejiscrew Why lie na mistari zangu ni true Na in fact this naifanyia to my crew Estate gang shimai ata hawana clue Kabla mwaka iishe na zile vitu tutado Hii ni blanda watabongea majuu Niko mashada zinanibeba juu juu Soma rada wee si illitrate dued Nikiwa ma-wada me huwajibu virude Mistari joh sure, sema baraka Ni ma demons nafufua usiite talanta Na upishi mi nafanya joh kijana matata Vitu zinalipuka kwa kichwa ni ma Pa pa pa pa pow Staikubali unitharau nilidedi ubao In fact najimake king 'ntakufanya u-bow Wanafanya zetu zetu na hatufanyi za kwao Wakiskia kuna offer wanafika wafao Ukambani me nazoza wanashindwa nichau Na marapper nawakosa walirudingi chao Ka ni Kibra me narep utadhani ni town Ka ni vela me naset kuepuka maclown Wakidhani me nachizi nilifyat kitambo Ukishuku ni rahisi karibia nikuhumble [Chorus: Virusi Mbaya] Hizi streets ni za machampe After win tunapop champagne Nikimaliza utanishow compe Mrembo kama vela anaenda chain Ni ma one two nikitokea na crew Si unajua manze what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si hu-uwa that's what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si unajua manze what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si hu-uwa that's what we do [Verse 2: Scar Mkadinali] It's a new year na denge ni mwecheche Pia mahater wananichukua ni mwecheche Nimebonda maybe kichele inichekeshe President rende gang me ni protege Rasta usihop sana nitembezee Nawashwa kapilipili akikamata dame Msupa alinitext ati I love you Scar-de de akamtext back ati He-he-he He-he He-he-he Si ni funny Mziza akilia machozi humwagika ndani Maline 1,2,3 naenda kwa gummies for real Washajua ni nani Vitu zinatendeka zinawezaamsha Dedan Polisi wanatumada ni ka wapematiwa tender Mpaka watoto wadogo hamna roho Na geneza ikiwa ndogo Ndio huwaga nzito sana kubeba East mpaka West mziza ndio bado nawapenda Nimeichimba kutoka nikuwe kapyenga Utalipia hakuna kitelezi cha bure Vile vile fisi hawaonangi kundule Sikatiani mpaka watoto warudi shule Walitusaka hawakutupata wako too late Round hii lazima pia sisi tukule Crazy V na Scar hurray [Chorus: Virusi Mbaya] Hizi streets ni za machampe After win tunapop champagne Nikimaliza utanishow compe Mrembo kama vela anaenda chain Ni ma one two nikitokea na crew Si unajua manze what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si hu-uwa that's what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si unajua manze what we do Ni ma one two nikitokea na crew Si hu-uwa that's what we do

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Sergii
SergiiAdded lyrics

Discussion

Sign in to join the discussion.