WATENDAWILI
Safari
ft. Shad Mziki
PROD. BY Wuod Omollo
WRITTEN BY Ywaya Eugine Simon, Edgar Israel Onyach, Shadrack Mulila Mutungi
[Verse 1]
Penzi weh skuma gari twende
Nieleze sitaki tunyeshewe
Kama umechoka ungesema
Usife moyo ni mapema
Niambie mbona hutaki tena
We ndio ulisema ni milele
Hakuna kitu itatutenga
[Refrain]
Penzi weh usinigeuzie
Moyo wangu si mashini
Ukiniwacha ntaumia
Penzi weh usinigeuzie
Ubwage moyo wangu chini
Ukiniwacha nitaumia
[Chorus]
Hii safari hii safari ehh
Hii safari ya wawili ehh
Hii safari hii safari ehh
Hii safari ya wawili ehh
[Refrain]
Penzi weh usinigeuzie
Moyo wangu si mashini
Ukiniwacha ntaumia
Penzi weh usinigeuzie
Ubwage moyo wangu chini
Ukiniwacha nitaumia
[Chorus]
Hii safari hii safari ehh
Hii safari ya wawili ehh
Hii safari hii safari ehh
Hii safari ya wawili ehh
[Outro]
Kare ka nwa chako wuothni
To nwa chako kanyakla
Ango mo miyo niweya
Niweya malit
Abera apenjiga apenjigaa
Sign in and select any words to explain a line.
No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE
CONTRIBUTORS
Discussion
Sign in to join the discussion.