FEMI ONE
Utawezana
ft. Mejja
GENGETONESheng, Swahili· 2020· 2 views
PROD. BY Riccobeatz Mr. 808
WRITTEN BY Femi One, Mejja
[Intro]
Femi, ndo ule Mejja, ndo ule Mejja
Si ulikuwa unadai kuchapiana naye
Ishia, ishia, ishia
Riccobeatz, Mr. 808
[Verse 1: Femi One, Mejja]
Okonkwo pole nimekuja ghafla (usijali)
Ni vile we hukuwa umenibamba
Aah, Femi One pia kwangu we ni msoo
Kwanza vile ulituosha kwa ile verse ya ‘Ligi Soo’, eh
Nakupenda manze we hukuwa mhumble (asante)
Legend, kwangu we ni icon
Aah, stori za icon kwanza weka mbali
Femi One mi hukuwa nimekutamani
Eeh, Okonkwo umeanza kunichocha (ah, zii)
Nishow ni wapi uliniona
Aah, Femi One (eeh), we unibamba
Kwa Instagram nikicheki izo mapaja, ah
[Chorus: Femi One, Mejja]
Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
[Verse 2: Mejja, Femi One]
Iko, haga yako iko
Naipenda ka mke nyumbani na mwiko
Mejja umeanza kuniflirt, aah
Unataka kunikula kama plata
Hiyo kifua nataka kuichambua
Mi nataka kukulamba mpaka ushindwe kupumua, ah
Kidesign umeanza kunibamba
Nikikupea usiende kutangaza
Ah, hiyo ni siri (wazi) ka pin number
Sitaambia mtu sitaambia hata King Kaka
Haina noma leo utanikula
Lakini ka ni ndogo usishinde ukikuja (aah)
[Chorus: Femi One, Mejja]
Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler
[Verse 3: Femi One, Mejja]
Napenda machali wako na swagger (okay)
Nikicheki fashion yako hapana
Femi One hao machali looku looku
Ni looku tu lakini hawana kakitu
Ah, nataka kurombosa hadi chini
Ah, nataka kuikota huko chini
Ah, napenda kupakua nikiwa juu
Ah, siteti, napenda hiyo view
Fungua bonnet (okay) toa screw (Aha)
Mbona unanidai na usiniambie uongo
Ah, nakudai juu umetoka ghetto
Na we ni manzi hardcore manzi mathongo
[Chorus: Femi One, Mejja]
Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler, ah
[Outro: Femi One, Mejja]
Femi Uno
Mtoto wa Hadija, haha
Sign in and select any words to explain a line.
No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE
CONTRIBUTORS
Discussion
Sign in to join the discussion.