IYANII
Utaambia Nini Watu artwork

Utaambia Nini Watu

ft. Bensoul
AFRO-POPSwahili, Sheng· 2026· 0 views
PROD. BY Waka Waka & Igamba Mbiu
WRITTEN BY Ian Oure Okwemba, Bensoul Mutua Muia
[Intro] Sudaaah Kwa majina ni Iyanii (Tunakujua) Weh wakawaka waka [Verse 1: Iyanii] Ni juzi mlijuana, mlijuana Mshashona vitenge zinafanana Picha kwa mtandao mkichochana Vile hamuwezi kuachana Wewe tulikukanya, tulikukanya Ukasema ni wivu tunadanganya Ona kimekuramba, kimekuramba Unalia nini tulikukanya [Pre-Chorus: Iyanii] Na tulikuwarn si tulikuwarn Ukadhani ni wivu tunakuonea Na tulikuwarn si tulikuwarn Ukadhani mpenzi wako tunamnyemelea Na tulikuwarn si tulikuwarn Baada ya mechi kila kitu ukamwambia Marafiki zako ulitutoka after mpenzi umempata Ona sasa amekuachaa umerudi kutu tafta Marafiki zako ulitutoka after mpenzi umempata Ona sasa amekuachaa, amekuacha [Chorus: Iyanii] Utaambia nini watu? Utaambia nini watu? Utaambia nini watu? Utaambia nini watu? Utaambia nini watu? [Verse 2: Bensoul] Sudaaah Na si ni wewe niliona Kwa matatu ukishukishwa Kwani dinga ulirudisha Ukashukishwa maishaa woo woo woo Ukikimbisha wamama Si tulianzanga chama Ulidhani umeomoka ukabadilisha namba Machozi utalia ya mamba [Pre-Chorus: Iyanii] Na tulikuwarn si tulikuwarn Ukadhani ni wivu tunakuonea Na tulikuwarn si tulikuwarn Ukadhani mpenzi wako tunamnyemelea Na tulikuwarn si tulikuwarn Baada ya mechi kila kitu ukamwambia Marafiki zako ulitutoka after mpenzi umempata Ona sasa amekuachaa umerudi kututafta Marafiki zako ulitutoka after mpenzi umempata Ona sasa amekuachaa, amekuacha [Chorus: Iyanii & Bensoul] Utaambia nini watu? Ulitaka Visa ukapata ni visanga Utaambia nini watu Kazi kwisha sasa maybe ukuwe makanga Utaambia nini watu Kuna time ulijidai ukajidai ukajidai Utaambia nini watu Sa form zako hatudai hatudai hatudai Utaambia nini watu

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Onslaught
OnslaughtAdded lyrics

Discussion

Sign in to join the discussion.