MATATA
Inakubalika artwork

Inakubalika

ft. Watendawili
MpishiAFRO-POPSheng, Swahili· 2024· 2 views
PROD. BY Woud Omollo
WRITTEN BY Matata, Watendawili
[Intro] Bash imeshika juu Matata wamefika washa ndom (ndom) Bash imeshika juu Matata wamefika washa ndom (ndom) Matata Matata! [Verse 1: Ywaja Tajiri & Onyach Pala] Niache Nyash ipite boss kwani mi ni nugu? Sikosi nguvu baby girl mi hukula njugu Bad to the bone lazima nikunywe supu Shake dat ting hadi upigwe marufuku Kaende kaende, kifo cha mende Unaninyonya kama maembe na tembe Game bubu vitu zetu usiseme Wacha wabaki wakidhani kuna venye Peleka juu, peleka chini Usiogope kuu- rarua mini Ikishika sana, toa ulimi Zako zikipanda, cheza na mimi [Chorus] Maordinary tuko area Cheki vile doba imetubeba Tingisha kichwa toa ngepa Ule dem ako handas si amebeba Zitoke mkono na mabega Tetemeka ka una malaria Shingo kando ka umeng’ethia Jikune ni ka una bacteria Alafu pause… Inakubalika, inakubalika, inakubalika Inakubalika, inakubalika, inakubalika [Verse 2: Freddy] Rating ni five star Ndani ya five star hotel kwetu ni Gaza Naroga ka Vybz Kartel niko na answer Uko na swali naeza tell bombastic side-eye (bombastic side-eye) Sijavuka border napiga ma-Ethiopia Ka ni 420 tupate tukichoma Pigia pedi akuje na keroma Hizi mamoshi zinatibu mpaka homa Madem wanapaka hena na ma-foundation Wanasema right now tuma location Wanajua si ndio huwanga na formation Mpesa confirmation leo celebration [Chorus] Maordinary tuko area Cheki vile doba imetubeba Tingisha kichwa toa ngepa Ule dem ako handas si amebeba Zitoke mkono na mabega Tetemeka ka una malaria Shingo kando ka umeng’ethia Jikune ni ka una bacteria Alafu pause… Inakubalika, inakubalika, inakubalika Inakubalika, inakubalika, inakubalika [Verse 3: Fezzoh] Uko divine baby, sa mbona ukunywe Chrome Uko na body fine asalam, aleikum salaam Ka si ya brown ah, ah, kwangu kitu haram Geuka ka ghost nikishatumaga hizo salam Niko na time and doh za ku-waste kwa mahoe nikasha get bored Yo bam bam It’s like a ticking bomb when you tippin’ toes yeah I want some more Yo bam bam Napiga proper toka morning mpaka jion’ From the window to the wall, bedroom mpaka jikon’ Vile anageukanga we utadhani ye’ chameleon Kesi imeshageuka dria, my girl a hoe [Chorus] Maordinary tuko area Cheki vile doba imetubeba Tingisha kichwa toa ngepa Ule dem ako handas si amebeba Zitoke mkono na mabega Tetemeka ka una malaria Shingo kando ka umeng’ethia Jikune ni ka una bacteria Alafu pause… Inakubalika, inakubalika, inakubalika Inakubalika, inakubalika, inakubalika

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Onslaught
OnslaughtAdded lyrics

Discussion

Sign in to join the discussion.