NYASHINSKI

1 of 1
PROD. BY Bully
WRITTEN BY Nyamari Ongegu
[Verse 1]
Mafan wanataka some new ish
Mamaa anataka a new whip
Babaa anatafuta school fees
Hananga patience ya bullshit
Ah nakuwanga hood rich
Jaba inaletwa na toothpick
Pull up wanashangaa who's this?
Pull up wanashangaa who (Shin chilla)
Dogimzee hazina new tricks
Wanaishanga wakifeel sweet
S'wataji kama the shoe fits
S'wahitaji sana vile nyi huwish
Sanaa imejaa na macool kids
Gava inafaa na ma youth please
Ambia hawa mafala the truth is
Song zao nazipeanga two weeks
Mang'aa amesimama kwa pulpit
Anapractice kile you preach
Mind yangu inakuwanga too quick
Lines zangu zinakuwanga too sick
Maflow unaonanga vile mi huswitch
Mi pekee ndio rapper nyi humiss
Hakuna level sijai reach
Hakuna dranya ako too thick
[Bridge]
Wah! God bless
Tangu nishike cordless marapper wengi wako jobless
Hii game nikaa mocha ni heartless
Uh industry ni selfish
Aim ya kila mtu ni get rich
So na aimia kila mtu si make peace
Na ata kaa kaa ntaforgive si forget shit
[Chorus]
Hivi ndio inakaa saa ile ubahatishi
Unaona gwiji so far cheki naifanya fiti
Unapenda mziki na hata hulazimishwi
Na mapost mingi mingi bila stunts na makiki
Narun jiji na sound fiti
I am simply one of one
Hivi ndio inakaa saa ile ubahatishi
Unaona gwiji so far cheki naifanya fiti
Unapenda mziki na hata hulazimishwi
Na mapost mingi mingi bila stunts na makiki
Narun jiji na sound fiti
I am simply one of one
[Verse 2]
Ni so fulfilling silipwi na promises
Ama exposure hapana ni dollar au shilling
Utaamini blogger au mimi
To be frank lakini
Career yako ilidie ikazikwa unangoja niargue na mzoga au nini?
Unanifuata sana umerogwa nini?
Mi sio kaa nyinyi hakuna msanii hupiga show kaa mimi
Gari ya loan kutuonesha ati vile unashika doh siamini
Baada ya miaka kadhaa unadai kuchangiwa wah
Juu ya okada ju ya vile umeharibu maziwa (wah)
Situation yangu ni win-win aisee digaga na bling-bling
Friday kidagaa na sim-sim man siezi lala nalive dream
Kitu hamwezi fake ni energy
Sitolerate fake energy
Arif atabaki arif
Enemy atabaki enemy
Niko la vila nakula pasta na wife najua watu ni magangsta for life
Stamps zimejaa kwa passport ya mine
Kumbuka ni business class nikifly
Business yangu usiingilie
Usha warn-iwa saa usinitry
For peace of mind sijidrive
Crib ya mine si ni vibes
Umefanya nini in life
Ndio uweze kunipa advise
Tuambie unajua nini besides
Kucriticize, criticize
Nimefanya vitu hukuwa unajua zinaeza fanyika keep it 1hunna
So ata hizo vitu nakuona uko busy ukiandika hazina maana
Mahater si wanang'ang'ana
Mamoves mi namake wanaziona
Umengoja niheme ukahema
Nilikushow mi ni marathon runner
Nafanya unakaa fala kupredict downfall ya mine
Mmebonga sana na nimewaskia
Saa nawachapa one at a time
Sign in and select any words to explain a line.
No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE
CONTRIBUTORS
Discussion
Sign in to join the discussion.