TIPSY GEE
Pia Mi Nataka
ft. Watendawili & Fathermoh
ARBANTONESwahili, Sheng· 2025· 0 views
PROD. BY Vic West
WRITTEN BY Tipsy Gee, Ywaya Tajiri, Onyach Pala, Fathermoh
[Intro]
Canvas records
Oh yeah, yeah
Yah man
Yoh! yoh!
(Vic twende)
[Chorus: Ywaja Tajiri]
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
[Verse 1: Onyach Pala & Ywaja Tajiri]
Acha leo zilipuke
Zimeshika fiti usikubali zishuke
Niko na marafiki na nawapenda bure
Hakuna kuchangia mzinga bora tu wanichunge
Cheza na rada Onyach Pala
Na niko na zigi mingi kwanza za Amsterdam
Come nikuchome we’ pia na your madam
Walai zimelipuka kama tenje ya Saddam
Onyi we’, usipite na dem wa Dorime (Onyi tulia)
Usinikulie, ikibidi nibakishie, oh yeah
Pia mi nataka, pia mi nataka
Pia mi nataka, sherehe inakuwanga ngumu joh kuwacha
[Chorus: Ywaja Tajiri]
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
[Verse 2: Tipsy Gee]
Ni kama ni kama ni kama mechi ilikubamba
Na ukaambia pia mabeshte cheki sa wananitaka, ah
Pia mi nataka
Makosa ilifanyika, nilitakwa nikatakika
Ile kitu nikatandika na bado tu unaniitisha (Pia mi nataka)
Mtaka yote hukosa yote so itabaki umechagua
Cheki pita na mimi fathermoh ilishaungua
Man a Tipsy hata we’ uko sure ukikuja nararua
Si unajua mi ni Musa mpaka Red sea napasua
Mpenzi mtazamaji
Kageuzwa mtazamaji wa mapenzi, itabaki nikate maji
Nani leo ndio champe, wapi shangwe?
Ni ka silali zabe leo nimepata clande
Rukisha gwethe, leo nimepata senje
Denge, inabaki hadi mabrathe sema..
[Chorus: Ywaja Tajiri]
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
[Verse 3: Fathermoh]
Fathermoh mi sipendi madharau
Ningependa kuwa mkale mi sipendi makarao
Unangoja chain, pyramids sipendi maPharaoh
Nikikuteka sikai sana, fare sipendi fika thao
Majimaji rebellion, kumwaga kwa session
Kofi nimehata ilipigwa Shebeshe
Aliomoka paka ilibidi itembezwe
Uko na mimba ulipeana upewe kete
Slide, alafu glide
Ikiwa soft chai, naizama side
Side, ananipenda kushinda main why?
Nilipenda nyuma sana nikabackslide
[Chorus: Ywaja Tajiri]
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
Oooh leo tuko kioo
Hatutaki vita hatutaki war
Tuko tipsy na tunaongeza more
[Outro]
Pia mi nataka, pia mi nataka
Pia mi nataka, sherehe inakuwanga ngumu joh kuwacha
Pia mi nataka, pia mi nataka
Pia mi nataka, sherehe inakuwanga ngumu joh kuwacha
Sign in and select any words to explain a line.
No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE
CONTRIBUTORS
Discussion
Sign in to join the discussion.