TOXIC LYRIKALI
Hongo ya Karao Vol.II artwork

Hongo ya Karao Vol.II

ft. Kapitani & Mauru Gwash
KENYAN HIPHOPSheng· 2026· 147 views
PROD. BY ABH sound
WRITTEN BY Denzel Washington, Kapitani, Mauru Gwash
Mboka [Chorus: Mauru Gwash] Hongo ya karao siku hizi ni kithao Na kwa pori ni ki mbao Pole mkubwa si si si madharao Nakivuta ndio angalau Niondoke izo izo izo swara zao Niondoke izo swara zao Niondoke izo izo izo swara zao [Verse 1: Toxic Lyrikali] Ndio kutoka reggae Panguza rusha na luku wembe Na avoid tu maboyz in blue hao ni masenge Ni challenge, ju sisi ni shamba hao ni majembe Sijai sundwa na nachafua jiweke Na rada, njege anadai niko gang affiliated Massage mrazi na knuckles ikuwe message Hatuogopi shiet, fully bad tangu ancient times Mentor wangu akiwa maziwa sikuwa na ng'am anachai Under the influence wanadhani hatuwezi thrive Si maganji pekee ndio inafanya ni smile Ju ya D, boy mzuri, mashawry waki ni-define Nikivuta line haezi decline [Verse 2: Kapitani] Sijai kubali kijana anizoe Kabla nianze jaba naekanga defence Kuna deal nangoja iivane nieke meno fence Kuna keki ananitrace pesa yake ndio tunaspend We not police, but tutaje ukiwa na ngori Utamu ya ngusu ina anzianga kwa nyongi Sijawai jifanyia mtihani sina issue waki copy We nikanje shida ilinileta Nairobi Hii ni top caliber East side hooligan Naingia na madoido so sikosangi pararira Asset zishafika, kwa wenye wanauliza Vitu hazijatumika sana na bei ni ya kutupa [Verse 3: Toxic Lyricali & Kapitani] Ngoja kwanza asset si ya mkono wa pili Pole kwa mwili Nikishabag mamilli Life we living Kwa jungle ya simiti Hizi ni rare ka rangi mpya kamiti Ju haijawai kuwa rahisi Naeza ingia kwako na teke ka polisi Si lali njaa ni nyinyi mtalala chini Tuko hunting, kicheko ya fisi [Chorus: Mauru Gwash] Hongo ya karao siku hizi ni kithao Na kwa pori ni ki mbao Pole mkubwa si si si madharao Nakivuta ndio angalau Niondoke izo izo izo swara zao Niondoke izo swara zao Niondoke izo izo izo swara zao Niondoke izo swara zao [Verse 4: Kapitani & Toxic Lyrikali] Yoh Mukuru alikuwa ananisomea Si yeye nasomea Saa hakuna venye mbleina anamea Kijana utanipea Ama ujue mara haina spare Sikupenda, ni hali utanisamehea Niko na confidence kama suicide bomber Caution ju ya deni naeza ku-torture Slaughter before kudeliver product Party ni ya ghetto na sisi ndio masponsor Reminder, we affi bad everyday Naeza sponyo party na nikose kuparticipate Underrate, si ni warena hadi uki-hydrate Tukionekana njege wataje wanavigate [Chorus: Mauru Gwash] Hongo ya karao siku hizi ni kithao Na kwa pori ni ki mbao Pole mkubwa si si si madharao Nakivuta ndio angalau Niondoke izo izo izo swara zao Niondoke izo swara zao Niondoke izo izo izo swara zao Niondoke izo swara zao Niondoke izo izo izo swara zao Niondoke izo swara zao Niondoke izo izo izo swara zao Niondoke izo swara zao

Sign in and select any words to explain a line.

No annotations yet. Highlight a line to add the first one.
SHARE

CONTRIBUTORS

Onslaught
OnslaughtAdded lyrics · Annotator

Discussion

Sign in to join the discussion.